Mkuu wa Wilaya ya Magharibi ‘A’ Mhe. Laila Burhan Ngozi akizungumza na Waheshimiwa Madiwani, Kamati ya Ulizi na Usalama ya Wilaya, Masheha, Wafanyakazi wa Wilaya wa Magharibi ‘A’ na Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Magharibi ‘A katika ukumbi wa Madinat Holl Kianga.













