Waheshimiwa Madiwani wa Baraza la Manispaa Magharibi ‘A’ wakiwa katika kikao cha utekelezaji wa shughuli zilizopangwa kutekelezwa na Baraza hilo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026 kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa Magharibi ‘A’ Kianga.






Waheshimiwa Madiwani wa Baraza la Manispaa Magharibi ‘A’ wakiwa katika kikao cha utekelezaji wa shughuli zilizopangwa kutekelezwa na Baraza hilo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026 kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa Magharibi ‘A’ Kianga.





