Ziara ya maeneo yaliyoibuliwa katika mradi wa Scale

Ziara ya kamati ya mradi wa kuibua vipaumbele vinavyotokana na mabadiliko ya Tabianchi (SCALE) kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa kushirikiana na wajumbe wa kamati kutoka Baraza la Manispaa Magharibi ‘A’ wakutembelea katika maeneo (Mwera , Kama na Welezo) yaliyoibuliwa kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu wa mradi ambao unatekelezwa na World Bank.

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *