Miradi mipya

Miradi mipya

Miradi mipya ya Baraza la Manispaa la Magharibi ‘A’

UJENZI WA KITUO CHA ABIRIA MOMBASA

Ujenzi wa kituo cha dala dala cha Mambosasa ni mradi mpya unaotarajiwa kutekelezwa chini ya Baraza la Manispaa Magharibi ‘A’. Mradi huu baada ya kukamilika  utaondoa changamoto iliyokuwepo sasa ya kutokuwepo kwa kituo rasmi cha dala dala.

UJENZI WA KIWANJA CHA KUFURAHISHIA WATOTO

Ujenzi wa kituo cha kufurahishia watoto ni mradi mpya unaotarajiwa kutekelezwa chini ya Baraza la Manispaa Magharibi ‘A’. Mradi huu baada ya kukamilika utasaidia kukuza mapato ya Baraza la Manispaa Magharibi ‘A’.