Mikakati ya usafi kwa Mkoa Mjini Magharibi

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mh. Moh’d Ali Abdalla amevitaka vikundi vinanyosimamia usafi wa mji katika Wilaya ya Magharibi ‘A’ kuongeza kasi ya utendaji kazi ili lengo la utunzaji na uimarishaji wa mji uweze kufikiwa kwa ufanisi Zaidi .
Ameyasema hayo alipokutana na vikundi hivyo vinanyosimamia shuhuli za ukusanyaji wa taka katika shehia mbali mbali zilizomo ndani ya Wilaya hiyo.

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *